RAIS wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt Donald Kaberuka akizungumza kwenye mkutano wao mkuu unaoendelea jijini Arusha ambao umelenga kujadili Maendeleo Endelevu ya Afrika kwa kujumuisha thamani ya Rasilimali Asilia katika kupima maendeleo ya kiuchumi katika nchi za Afrika.
WAZIRI MAKONDA: STENDI KUU ARUSHA KUWA NGUZO YA UCHUMI NA MAANDALIZI YA
AFCON 2027
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo
la Arusha Mjini, Paul Makonda, amesema ujenzi wa s...
8 minutes ago

0 Comments:
Post a Comment