Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia bidhaa mbalimbali za kilimo zilizotokana na bustani zilizopo kwenye Viwanja vya Maonesho ya Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2024. Bustani hizo zimetumia mbolea za ndani na nje ya nchi ili kuwaonesha Wakulima tija ya mbolea za ndani.
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
7 hours ago







0 Comments:
Post a Comment