.jpeg)
x
x
Na Gift Mongi,
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi leo tarehe 07.05.2024 aliuliza swali la nyongeza bungeni kama ifuatavyo:*
*Watoto wenye ulemavu ni wengi nchini. Je? Serikali ina mkakati gani wa kuwatambua huko vijijini, wilayani na mikoani ili waweze kupatiwa huduma stahiki?
Kutokana na swali hilo majibuyakatoka serikali kupitia Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Mh. Patrobas Katambi
TANESCO RUVUMA YAWAFIKIA WANAFUNZI TUNDURU, YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limeendelea na zoezi la
utoaji wa elimu kwa wateja kwa kuwafikia wanafunzi wa shule za msingi na
sekon...
4 hours ago
0 Comments:
Post a Comment