MWENYEKITI wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki, Adan Mohamed, (Kenya) leo April 23, 2021 akiongoza kikao cha makabidhiano ya kiofisi baina ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, (EAC) aliyemaliza muda wake, Balozi, Liberatus Mfumukeko, (Burundi) na Peter Mathuki, (Kenya) anayechukua nafasi hiyo wengine ni maafisa waandamizi wa makao makuu ya EAC


No comments:
Post a Comment