WAZIRI Mkuu , Kassim Majaliwa leo tarehe 20 Februari, 2021 ameongoza mamia ya waombolezaji kwenye maziko ya aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi, Mhandisi, John William Kijazi yaliyofanyika kwenye makaburi yaliyoko katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Augustino Manundu Korogwe, Tanga.
ROYAL FAMILY SEKONDARI GEITA YAANDIKA HISTORIA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2025
-
Shule ya Sekondari ya Royal Family iliyopo Manispaa ya Geita imeandika
historia mpya katika matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025
yaliyotangazwa rasmi ...
4 hours ago



0 Comments:
Post a Comment