![]() |
| Mkuu wa Kituo cha Samaritan Village Tanzania Bw. Josephat Manyi akishukuru kwa ujio wa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee. |
![]() |
| Mbunge wa Viti Maalum Cecilia Paresso akiwashukuru uongozi wa BAWACHA Taifa na Kupongeza Kituo cha Samaritan village kwa kuwalelea watoto yatima. |
![]() |
| Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee akikabidhiwa kuupanda ili iwe kumbukumbu ya Kuwa aliwahi kutembelea Kituo hicho. Huku Mti huo ukipewa jina la Halima Mdee. |
![]() |
| Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee akipanda Mti kwa alipozuru Kituo hicho watoto yatima Samaritan village. |

![]() |
| Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee akiagana na Mkuu wa Kituo cha Samaritan village baada ya kupanda mti wa kumbukumbu. |
![]() |
| Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee akikabidhi msaada wa Mchele kwa ajili ya kuchangia huduma ya chakula kwa watoto yatima katika Kituo hicho. |
![]() |
| Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee akikabidhi Msaada wa sabuni kwa ajili ya watoto yatima katika Kituo cha Samaritan village Tanzania. |
![]() |
| Katibu wa BAWACHA Mkoa wa Arusha Bi. Irine Kimati na Mkuu wa Kituo cha Samaritan village Tanzania. |















No comments:
Post a Comment