Habari Tanzania 🇹🇿
▼

Sunday, August 20, 2017

VIDEO: Alichoagiza DC Bukoba kufuatia tetemeko la Mwaka jana Kagera

Kufuatia tetemeko la September mwaka jana Kagera shirika la Jambo Bukoba linaloendeleza vipaji vya watoto kupitia michezo mkoani Kagera chini ya ufadhili wa Clemence Mulokozi kutoka Ujerumani wamefanya bonanza la michezo kwa lengo la kuendelea kuwaondolea mawazo watoto ambao bado wana fikra za tetemeko. Play Video Hapa chini



at Sunday, August 20, 2017
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Grace Macha
Karibu msomaji wangu Utapata habari za siasa Uchumi, matukio na kijamii zilizohaririwa kwa kuzingatia maadili ya habari
View my complete profile
Powered by Blogger.