Friday, August 25, 2017

BREAKING NEWS: Ajali ya moto katika kituo cha elimu Leguruki Arumeru


Breaking news:Ajali ya moto imetokea asubuhi katika kituo cha elimu LEKI Leguruki wilayani Arumeru  ambapi bweni la wasichana wa shule ya ufundi Leki linaungua moto, tutazidi kuwahabarisha



No comments:

Post a Comment