
Rais wa Marekani donald Trump amevunja Tamaduni ya Wmarekani na Ikulu ya nchi hiyo White house ya kuandaa chakula cha jioni kwa ajili ya kuadhimisha siku hii muhimu kwa Waislamu duniani.
Rais Barack Obama na Thomas Jefferson watakumbukwa kuadhimisha sikukuu hiyo nchini humo kama kuenzi mfungo wa ramadhani kwa jamii ya waislamu.
No comments:
Post a Comment