Mashuhuda wameeleza hali ilivyokuwa wakati kimbunga hicho kilipoanza kuikumba Zanzibar
“Tukio la Kimbunga lilitokea kweli kama majira ya saa 3:15 asubuhi…nikasikia midato mikubwa sana aina ya Radi…nikatoka kwenye kibanda kusimama nje, kutizama juu nikaona siyo Radi. Nikaona mabati yanaanza kusambaa juu yamegawika katika sehemu mbili; yaliyokuwa yanapita mbali na yaliyokuwa yanapita chini chini.” – Suleiman Ally Makame.
Video kutoka Ago TV IPO hapa Bonyeza na utazame wanachoeleza.
“Tukio la Kimbunga lilitokea kweli kama majira ya saa 3:15 asubuhi…nikasikia midato mikubwa sana aina ya Radi…nikatoka kwenye kibanda kusimama nje, kutizama juu nikaona siyo Radi. Nikaona mabati yanaanza kusambaa juu yamegawika katika sehemu mbili; yaliyokuwa yanapita mbali na yaliyokuwa yanapita chini chini.” – Suleiman Ally Makame.
Video kutoka Ago TV IPO hapa Bonyeza na utazame wanachoeleza.
No comments:
Post a Comment