Waziri Mkuu wa Japani, Shinzo Abe, ametuma ujumbe wa pongezi kwa Rais wa Iran, Hassan Rouhani, ambaye juzi Ijumaa alichaguliwa tena katika uchaguzi wa rais chini humo.
- Katika ujumbe wake, Waziri Mkuu Abe alisema ushindi wa Rouhani unaonesha kuwa watu wa nchi hiyo wana imani na sera yake kuhusiana na ushirikiano wa kimataifa.
No comments:
Post a Comment