(Move to ...)
About Us
Contact Us
Tangaza Nasi | Advertise here
▼
Wednesday, May 31, 2017
UPDATES: Rais JPM ametuma salamu za Rambi Rambi kwa familia ya Marehemu Ndesamburo
Rais Magufuli amesema alifanya
Kazi na Marehemu Ndesamburo walipokuwa wabunge la Jamuhuri ya muungano Wa Tanzania.
Rais JPM amewataka Familia , ndugu na wote walioguswa na msiba huo kuwa na uvumilivu na moyo wa subira kipindi hiki kigumu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment