Diamond akifurahia jambo na mashabiki |
Msanii Maarufu Mkali wa 'Marry you' Diamond Platnumz amewaambia vijana wa east Africa kuwekeza zaidi kwenye ubunifu kuliko kufikiri kupata ajira hata kwamba ilhali wamesoma kama hawana ubunifu ni kazi bure.
"Lazima uwe na Kiti cha tofauti na mwingine ili uweze kupata unachodream" , Unapopata jifunze kuwekeza kwa ajili ya kesho" Diamond Platnumz
Alipoulizwa Endapo umaarufu utaisha atajionaje?
"Naiogopa sana , kila nachopata na save kwa ajili ya kesho , nitasaidia kila mmoja maana haujui nani atakusaidia kesho" Diamond Platnumz.
Mashabiki wa Diamond Platnumz |
Ulikuwa ni mdahalo ulioabdaliwa na kurushwa LIVE na Kituo cha Television ya NTV kwa muda wa zaidi ya dakika 45.
No comments:
Post a Comment