Kikwete amekuwa mbunge kwa miaka umi na tano kwenye jimbo la chalinze,
chama chake kimekuwa madarakani kwa zaid ya miaka 50 leo mtoto wa
mfarume anasema kero hizi atazimaliza ndani ya siku mia tatu sitini na
tano (365) apa ni tumeangalia tukio mmoja yaani miudo mbinuado bado
Elimu, afya...picha chini ni Kidung'hwe, Kata ya Msoga kwao Jakaya
Mrisho Kikwete...hakuna barabara kuna kile ambacho kinaitwa mapitio ya
mifugo. lifika wakati mgombea kuingia front kuwa injinia wa barabara ya
kuchonga ili tuwahi kampeni. walituma karibu saa ya 2. Baba miaka 15
akiwa mbunge wa jimbo hili, waziri kamili wa fedha, waziri wa nishati
madini na sasa rais...alishindwa kujenga barabara, mtoto anataka kupewa
ubunge anasema atawaletea wananchi matrekta kila kijiji...










No comments:
Post a Comment