Tuesday, July 24, 2012

M4C yavuna 1,200 simanjiro

James Ole Millya akisalimia na wazee wa kijijini kwake alikozaliwa Orkesumet Sinanjiro


James Millya akisalimiana na bibi yake, Yeyaai Laisukula ambaye alililia kwa furaha ya kumuona mjukuu wake huyo

Millya , Lema na aliyekuwa diwani wa Sombetini kwa tiketi ya CCM ambaye hivi karibuni amejiunga Chadema, Alphonce Mawazo wakisubiri kuongea na wananchi wa Orkesumet

wananchi wa Orkesumet wakisikiliza mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya mwenge


Millya akiongea uwanjani Mwenge


zoezi la utoaji kadi za chadema

miongoni mwa vitu vilivyorejeshwa na waliokuwa wanaCCM


Wakiondoka kwenye viwanja hivyo kuelekea kwenye chopa


wakiagana na wananchi kabla ya kupanda chopa


Millya akihutubia Mererani




No comments:

Post a Comment